Content removal request!


JAMHURI SC 0-2 MALINDI SC; HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (MAPINDUZI CUP - 04/01/2019)

Timu ya Malindi imepata ushindi wake wa kwanza kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar kwa kuifunga Jamhuri mabao 2-0 katika mchezo uliopigwa kwenye Dimba la Amaan. Mabao ya Malindi yamefungwa na Abdulswamad Ali dakika ya 17 na Juma Hamad dakika ya 62.