Content removal request!


Magoli yote Yanga ikiikaanga Singida (0-3) Ntibazonkiza atuma salam - 15/12/2020

Striker mpya wa Yanga Saidi Ntibazonkiza, amerudi kambani mara mbili kwenye mechi ya kirafiki kati ya Yanga dhidi ya Singida United, ambapo watoto wa Jangwani wameshinda bao 0-3. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz