Content removal request!


DODOMA DERBY - DODOMA JIJI 2-1 JKT TANZANIA | UCHAMBUZI BAADA YA MECHI - VPL 14/02/2021

Timu ya Dodoma Jiji imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliochezwa leo kwenye Dimba la Jamhuri Dodoma. Magoli ya Dodoma yamefungwa na Khamis Mcha na Anuary Jabir huku goli la JKT Tanznaia likifungwa na Edson Katanga. Pia tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz