SIMBA TV EPISODE 20: Tunakuonesha jinsi tulivyomalizana na majukumu ya Kimataifa kwa kukosa bahati na kutolewa kwenye Ligi ya mabingwa Afrika kwa kutoka sare ya bao 1-1 na UD Songo ya Msumbiji. Lakini pia utashuhudia jinsi ambavyo safari ya majukumu ya Kitaifa ilivyoanza kwa kuichapa JKT Tanzania. Simba SC #NguvuMoja