Ni muda mfupi kabla ya Derby ya Mwanza Alliance vs Mbao FC, ikiwa ni miongoni mwa mechi za kwanza katika msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Wawakilishi wa timu hizo wanashutumiana kufanyiana vitendo wanavyoamini kuwa ni vya kishirikiana katika vyumba vya kubadilishia nguo. Mechi inaanza saa 10:00 jioni na itakuwa LIVE #AzamSportsHD #AllianceVsMbao #TPL