Simba SC yaibwaga Coastal Union kwenye dimba lake la Mkwakwani na Yanga SC walizwa na Mtibwa Sugar Morogoro. Kesho ni zamu ya Azam FC dhidi ya Ndanda mkoani Tabora. Kwa hayo na mengine mengi ya kimichezo ungana na Ahmed Ally ndani ya Mshikemshike Viwanjani.