Content removal request!


MTIBWA SUGAR 1-2 LIPULI FC: HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (VPL - 16/05/2018)

Timu ya Mtibwa Sugar imekubali kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Lipuli FC mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye dimba la Manungu, Morogoro. Mabao yote ya Lipuli yamefungwa na Seif Abdallah Karihe dakika ya 17 na 71, huku la Mtibwa likifungwa na Riffat Khamis dakika ya 53..