Content removal request!


Magoli ya Namungo ikiibomoa Al Rabita 3-0 - CAF CC 28/11/2020

NAMUNGO 3-0 AL RABITA: Namungo FC imeanza vizuri mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika #CAFCC kwa kuichapa Al Rabita ya Sudan Kusini mabao 3-0. Magoli ya Namungo yamefungwa na Stephen Sey aliyefunga mawili huku la tatu likifungwa na Shiza Kichuya. Tazama magoli. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz