Content removal request!


MBEYA CITY 1-1 STAND UNITED; HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (TPL - 15/02/2019)

Vijana wa Mbeya City leo wamebanwa mbavu na Chama la Wana Stand United kwa kulazimishwa sare ya bao 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Mbeya City ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 54 mfungaji akiwa ni John Kabanda wakati Jacob Masawe akiisawazishia Stand dakika ya 86.