Content removal request!


Simba SC 2-0 Kagera Sugar | Highlights - VPL 04/11/2020

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), Simba SC leo wamepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Uhuru Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamefungwa na John Bocco na Said Ndemla. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz