Content removal request!


Azam TV - VPL HIGHLIGHTS: NDANDA FC 0-2 SIMBA SC (30/12/2017)

Ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa katika dimba la Nangwanda Sijaona Mtwara ambapo Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 yote yakifungwa na Nahodha wake John Bocco