Timu ya Mbeya Kwanza iliyopanda daraja msimu huu, imekuwa ya kwanza kufunga goli msimu huu wa 2021/22 kupitia kwa William Edgar na kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, mechi ikipigwa kwenye Uwanja wa Mabatini, mkoani Pwani. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz