Timu ya JKT Tanzania na Polisi Tanzania zimetoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Magoli yote mawili yamepatikana kwa penati, la JKT likifungwa na Danny Lyanga huku la Polisi likifungwa na Marcel Kaheza. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz