Content removal request!


JKT Tanzania 2-0 Coastal Union | Highlights | VPL 21/02/2021

Coastal Union wameziacha pointi tatu nyingine kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma baada ya leo kupigwa 2-0 na JKT Tanzania ikitoka kuchapwa 2-1 na Dodoma Jiji FC. Magoli yote ya leo yamepatikana kipindi cha pili yakifungwa na Rashid Mandawa na Danny Lyanga. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz