Content removal request!


Magoli | Ruvu Shooting 1-1 Mbeya Kwanza | NBC Premier League 03/02/2022

Ruvu Shooting na Mbeya Kwanza zimekabana koo na kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa #NBCPremierLeague ulipigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Sadat Mohamed Nanguo ndiye aliyetangulia kupachika bao upande wa Ruvu Shooting na kisha Habib Kiyombo akasawazisha kwa 'free-kick'