Content removal request!


Goli la kwanza la msimu Mbeya Kwanza wakiwatandika 1-0 Mtibwa Sugar | TPL 27/09/2021

Goli la William Edgar limekuwa ndilo goli la kwanza kwenye ligi kuu Tanzania Bara msimu wa 2021/22, na kuipa ushindi wa bao 1-0 Mbeya Kwanza (iliyopanda daraja msimu huu) dhidi ya Mtibwa Sugar, mechi ikipigwa kwenye Uwanja wa Mabatini, mkoani Pwani. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz