Lazaro Nyalandu: Viongozi CHADEMA Walimuombea Mabaya JPM | Nilimgaragaza Lissu | CCM Ina Mfumo
Mwanasiasa nguli Lazaro Nyalandu katika Clouds 360 ikiwa ni siku 2 tangu arejee Chama Cha Mapinduzi ambapo ameongelea mambo mengi yaliyopelekea yeye kuhama pamoja na kurudi CCM
#LazaroNyalandu #Clouds360