Uchambuzi kuelekea mechi tatu za VPL za leo kati ya Prisons Vs Mwadui, Ruvu Shooting Vs Kagera Vs Polisi Ungana na Hasheem Ibwe akiwa na wachambuzi Ally Mayay na Dominick Salamba kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho, Afrika, kati ya Namungo FC ya Tanzania dhidi ya Al Rabita ya Sudan Kusin.