Content removal request!


EXCLUSIVE: Wachezaji Stars 'watema nyongo' kilichosababisha wafungwe Cape Verde

Baadhi ya wachezaji wa Taifa Stars wameeleza sababu za kiufundi zilizopelekea mashujaa wa Tanzania kupoteza mchezo wa ugenini dhidi ya Cape Verde kwenye harakati za kufuzu kwa fainali za Afcon mwaka 2019. Wasikilize