Ni katika mchezo wa mwisho wa kufungia hatua ya makundi #CecafaKagameCup , Nyasa Big Bullets ikaicharaza Atlabara ya Sudan Kusini mabao 2-0, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Wafungaji ni Kayira na Hassan. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz