Tanzania imetwaa ubingwa wa michuano ya vijana wenye umri chini ya miaka 23 #CecafaU23ChallengeCup kwa kuichapa Burundi penati 6-5 katika mchezo wa fainali uliochezwa leo bahir Dar nchini Ethiopia. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz