Magoli mawili ya kipindi cha kwanza yamehitimisha mechi ya ligi kuu kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Ihefu SC kumalizika kwa sare ya mabao 1-1 kwenye uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Goli la Ihefu limefungwa na Issa Ngoah wakati la Mtibwa likifungwa na Kelvin Kongwe Sabato. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz