Mchambuzi na mtangazaji wa habari za michezo wa @azamtvtz Hassan Ahmed alie kua akitangaza mchezo wa leo wa Geita Gold dhidi ya Simba Sc uliochezwa jijini Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba, akielezea hali yake ilivyokua pindi akitangaza mchezo huo.