Content removal request!


Magoli ya Mtibwa Sugar ikiichapa Stand United 2-0 na kutinga fainali ya ASFC

Mtibwa Sugar ya Morogoro, imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji Stand United katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) uliopigwa leo kwenye dimba la Kambarage, Shinyanga. Mabao yote ya Mtibwa yamefungwa na Hassan Dilunga.