Content removal request!


Simba SC yamuua shabiki wake 'ikiiua' Nkana FC

Aliyekuwa mtunza vifaa mssaidizi wa Taifa Stars, Rajabu Kessi amefariki dunia akiwatazama Mabingwa soka nchini Simba SC wakipambana na Nkana FC ya Zambia kwenye mchezo wa marudiano wa klabu Bingwa Afrika. Maelezo zaidi haya hapa.