Content removal request!


Magoli | Azam FC 1-4 Singida Big Stars | Nusu fainali Mapinduzi Cup 2023 - 08/01/2023

Tazama magoli yote Singida Big Stars ikiichapa Azam FC mabao 1-4 kwenye mchezo wa nusu fainali ya Mapinduzi Cup 2023 Magoli manne ya Singida Big Stars yamefungwa na Francy Kazadi na goli la Azam FC limefungwa na Abdul Sopu