EXPRESS vs KMKM SC: Penati ya dakika ya 90 imeitupa KMKM SC nje ya mashindano ya #CecafaKagameCup2021 ikifungwa 2-1 na Express ya Uganda katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa Azam Complex, Chamazi. Magoli ya Express yamefungwa na Muzamiru Mutyaba pamoja na Erick kenzo Kambale huku goli la KMKM likifungwa na Ibrahim Abdallah. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz