Content removal request!


SIMBA 0-1 YANGA: Alichokisema Zawadi Mauya baada ya kuichapa Simba 1-0 VPL 03/07/2021

#KariakooDerby. Mfungaji wa bao pekee la Yanga, Zawadi Mauya amefunguka kuhusu goli alilowafunga Simba kwenye mechi ya leo. Sikia walichokisema wachezaji wa Yanga baada ya mechi, mmoja akisema “Akija Rais tu, inakuwa ni nafasi ya Yanga kushinda” FT’: Simba 0-1 Yanga. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz