Content removal request!


Namungo FC 1-1 Kagera Sugar | Highlights | TPL 04/10/2021

Kagera Sugar imeikaba koo Namungo FC na kuilazimisha sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Dimba la Ilulu mkoani Lindi. namungo wametangulia kupitia kwa Reliants Lusajo, lakini Kagera wakachomoa kupitia kwa Mbaraka Yusuph. Haya hapa magoli yote. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz