Content removal request!


Magoli | Somalia 0-3 Eswatini | Kufuzu AFCON 2023

SOMALIA vs ESWATIN: Mechi ya mtoano atua awali kuwania kufuzu #AFCON imemalizika kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam na Somalia wamekubali kichapo cha mabao 3-0 kutoka Eswatin. Haya hapa magoli yote matatu.