Content removal request!


Namungo 1-2 Azam | Highlights | NBC Premier League 16/03/2022

NAMUNGO vs AZAM: Nyota wa Azam FC, Prisons Dube amefunga goli lake la kwanza kwenye ligi msimu huu, akiiongoza timu yake kuifunga Namungo FC mabao 2-1 ugenini. Katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Ilulu mkoani Lindi, Namungo wametangulia kupata bao kupitia kwa Mohamed Issa Banka lakini Azam wakachomoa kwa goli la Prince Dube na kisha kupiga la pili kupitia kwa Ismail Aziz Kader.