Jiji linazizima Leo!! Ni Dar Es Salaam Derby inayowakutanisha Watoto wa Jangwani, Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya NBC Yanga Sc dhidi ya Wazee wa Pira Ice cream, Pira Iriza,Pira Strawberry na Mautamu yote unayoyajua,Azam Fc, Katika Uwanja Wa Benjamini Mkapa. . Mpenja Tv tunakuletea Matukio yote yanayoendelea kwenye mbungi hili. . Fungua video hii upate uhabarike.