Azam FC yavutwa shati nyumbani, Mbao yazidi kutamba kileleni; na kuelekea #SuperSunday ya #KariakooDerby Simba SC na Yanga SC zakaa 'mguu sawa'. TFF yatoa tahadhari kwa mashabiki....ni tahadhari gani? Ungana na Ahmed Abdallah ndani ya MSHIKEMSHIKE VIWANJANI.