Ni katika dimba la Manungu mkoani Morogoro, ambapo Ruvu Shooting imeendeleza wimbi la ushindi baada ya kuwalaza mabao 2-1 wenyeji wao Mtibwa Sugar na kupanda mpaka nafasi ya saba ya msimamo wa VPL ikifikisha alama 23, nyuma ya wapinzani wao Mtibwa wenye alama 27 kwenye nafasi ya sita