Content removal request!


Magoli | Mbeya City 2-1 Azam FC | NBC Premier League 10/05/2022

Azam FC imepoteza mchezo wake wa tisa kwenye ligi kuu msimu huu baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Mbeya City... Mchezo ukipigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya. Magoli ya Mbeya City kwenye mchezo huu yamefungwa na Juma Shemvuni pamoja na beki wa Azam FC, Daniel Amoah aliyejifunga dakika ya 83 huku goli pekee la Azam likifungwa na Ayoub Lyanga dakika ya 88.