Azam TV - Kituko cha Yahya Mohamed mtanange Azam FC Vs Kagera Sugar
Mchezaji wa kimataifa wa Azam FC, Yahya Mohamed, ameonesha utovu wa nidhamu kwa benchi la ufundi la timu yake, baada ya kuzozana na kocha wa timu hiyo katika mtanange wa VPL dhidi ya Kagera Sugar.