Goli la dakika ya 90 kutoka kwa Meshack Abraham limeipa Gwambina FC sare ya bao 1-1 dhidi ya Kagera Sugar, katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa leo kwenye Dimba la Kaitaba, Bukoba. Kagera ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Yusuph Mhilu. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz