Miongoni mwa taarifa zilizomo ni pamoja na ripoti kamili kuhusu yaliyojiri kwenye mechi tatu za Ligi Kuu tanzania Bara zilizopigwa leo, pamoja na maoni ya mashabiki. Pia Mwanachama wa Simba Chuma Suleiman Mzee maarufu kama Bi Hindu ametoa tambo zake kuelekea mchezo wa Watani wa jadi Septe 30, 2018. Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi ametoa sifa na vigezo kwa waamuzi watakaochezesha mchezo wa Watani wa jadi Simba na Yanga Septemba 30. Pamoja na mengine mengi ungana na Ahmed Abdallah. Kumbuka kipindi hiki ni kila siku saa 3:00 usiku Azam Sports 2.