HATTRICK: Steven Desse Mukwala amefunga hattrick, Simba ikiitandika Coastal Union mabao 3-0 kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid Arusha, mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara. Mukwala amefunga magoli yote matatu dakika ya 30, 45 na 56 Tazama highlights...