Content removal request!


Simba SC 2-0 APR FC | Highlights | Simba Day 03/08/2024

Debora Fernandes na Edwin Balua ndiyo waliotikisa nyavu, Simba ikiitandika APR FC ya Rwanda magoli 2-0 katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki kuhitimisha sherehe za kilele cha #SimbaDay2024 ndani ya Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.