Content removal request!


HIGHLIGHTS: SIMBA SC 2-1 MTIBWA SUGAR (NGAO YA JAMII 2018)

Timu ya Simba SC imefanikiwa kuibuka na ubingwa taji la Ngao ya Jamii mwaka 2018 baada ya kuichapa Mtibwa Sugar mabao 2-1. Mchezo huo wa unaoashiria kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2018/19 umepigwa kwenye Dimba la CCM Kirumba Jijini Mwanza, leo Agosti 18, 2018. Magoli yote matatu yamepatikana katika kipindi cha kwanza, Simba ikitangulia kwa bao la Meddie Kagere dakika ya 29 likisawazishwa na Kelvin Kongwe Sabato dakika ya 33, huku Hassan Dilunga akiifungia Simba bao la pili na la ushindi.