Content removal request!


Mashujaa FC 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 03/02/2024

Goli pekee la njia ya penati kutoka wa Saidi Ntibazonkiza limeipa Simba pointi tatu muhimu, kwa kuichapa Mashujaa FC bao 1-0 kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma. Tazama highlights.....