Content removal request!


Ihefu FC ilivyotanguliza mguu mmoja VPL kwa (2-0) dhidi ya Mbao FC - Highlights

Hivi ndivyo wana-Mbeya Ihefu FC walivyokamilisha hatua ya kwanza ya safari yao kuelekea #VodacomPremierLeague baada ya kuichapa Mbao FC wakiitumia vema uwanja wao wa nyumbani. Mchezo wa pili utapigwa Agosti mosi jijini Mwanza wakati Mbao ikiwa nyuma kwa magoli mawili watapaswa kurudisha ili wafufue matumaini ya safari ya kurudi #LigiKuuTanzaniaBara msimu ujao. #IhefuFC #MbaoFC #IhefuMbao #VPLPlayoffs #LigiDarajaLaKwanza #VPL Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz