Azam FC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya JKT Tanzania, katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma. Goli la Azam limefungwa na Ayoub Lyanga dakika ya 21 akipokea ‘assist’ ya kichwa kutoka kwa Obrey Chirwa. Hili hapa goli. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz