Content removal request!


Azam TV - VPL, MAGOLI YOTE: John Bocco alivyoiteketeza Ndanda FC Mtwara (Ndanda 0-2 Simba)

Ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa katika dimba la Nangwanda Sijaona Mtwara ambapo Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 yote yakifungwa na Nahodha wake John Bocco