Content removal request!


KIPYENGA CHA MWISHO 29/10/2020 - Matukio tata Simba vs Ruvu na KMC vs Yanga

Mwamuzi mstaafu Osman Kazi achambua baadhi ya matukio tata na vurugu zilizojitokeza kwenye mchezo wa VPL kati ya Simba na Ruvu Shooting. Pia zimeangaliwa mechi nyingine za raundi ya nane ikiwemo Ihefu vs Namungo, Coastal Union vs Gwambina, Polisi vs Biashara pamoja na KMC vs Yanga Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz