Content removal request!


REKODI ZA KUTISHA ZA MSHAMBULIAJI MPYA WA SIMBA STEVE MUKWALA AKIWA UGANDA NA GHANA/ANAFUNGA BALAA

Simba imetumia takriban Million 300 kupata saini ya mshambuliaji wa Zamani wa Asante kotoko Steve Dese Mukwala ambae amemaliza msimu wa ligi kuu nchini Ghana akiwa mshambuliaji namba mbili katika mbio za ufungaji bora nchini Ghana akiwa na mabao 14 Dullah Hassan anatupitisha Katika baadhi ya Rekodi za nyota huyu akiwa nchini Uganda pamoja na Ghana Kama unahitaji kuungwa kwenye group la Simba Pro tuma ujumbe kwa namba 0626629644 ili tuweze kukupa utartatibu wa jinsi ya kujiunga