Content removal request!


Azam TV - Je, huu ni ushirikina mechi ya Lipuli FC dhidi ya Mbao FC?

Ni tukio lililotokea kabla ya kuanza kwa mchezo kati ya Lipuli FC na Mbao FC katika dimba la Samora mjini Iringa ambapo Seif Abdallah Karihe wa Lipuli FC alinaswa na kamera za Azam TV.