KUFUZU AFCON 2023: Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kimewasili ndani ya dimba la Benjamin Mkapa tayari kuivaa Niger. Mechi ni saa 10:00 jioni LIVE #ZBC2 kwa Tanzania pekee. #KufuzuAfcon2023 #Afcon2023 #TaifaStars #TanzaniaVsNiger