Content removal request!


RUVU INAITAKA MECHI: “Tuko daraja moja na Simba” sehemu ya maneno ya kocha msaidizi wa Ruvu Shooting, Frank Msese akiwa pamoja na mchezaji wa timu hiyo Salum Kipaga wakizungumza kuelekea mechi yao ya kesho dhidi ya Simba SC. Mechi saa 1:00 usiku LIVE #AzamSports1HD…